Katika
maisha usimuage au kumuacha mtu ambaye moyo wako bado unahitaji kuwa
naye,usijaribu kukata tamaa ikiwa unatambua au unahisi mnaweza kusongo
na mambo yakabadilika mbele ya safari.
lakini kumbuka usijisifu na kujitapa kuwa haumpendi fulani ili hali moyo wako unatambua hauwezi kumuacha aende zake.maisha yoyote yale yanahitaji heshima,nidhamu na uvumilivu ili kufikia mafanikio.
Share na marafiki ujumbe huu.Je ulishawahi kujutia maamuzi yako?
lakini kumbuka usijisifu na kujitapa kuwa haumpendi fulani ili hali moyo wako unatambua hauwezi kumuacha aende zake.maisha yoyote yale yanahitaji heshima,nidhamu na uvumilivu ili kufikia mafanikio.
Share na marafiki ujumbe huu.Je ulishawahi kujutia maamuzi yako?
No comments:
Post a Comment