Hii ni kwa wanaume wote waliooa na ambao waliopo katika mahusiano,iwapo
mwanamke kaamua kumchezea akili mwanaume kwa kumwendea kwa
mganga/waganga kwa lengo la kumpumbaza,tatizo hili laweza tatuliwa na
mama mzazi wa kijana kiurahisi, hii ni kwa kutumia Mkojo Kwa Maana ya
Kunywa ,inashauriwa kuuweka kwenye chai atakayokunywa mwathirika hata
kama ni limbwata la wapi atafunguka kuanzia siku hiyo.
Onyo; ladies Mapenzi raha inawashauri punguzeni kuwalisha wanaume zenu madawa ya ajabuajabu mtajatuua au kutuchizisha bure
No comments:
Post a Comment