Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, August 22, 2014

TSN WATANGAZA VITUO VYA UUZWAJI WA TIKETI ZA REAL MADRID VS TANZANIA ELEVEN


Waratibu wa ziara ya kikosi cha Real Madrid, Kampuni ya Tanzania Sisi ni Nyumbani (TSN), wametangaza sehemu ambazo tiketi za mechi inayosubiriwa kwa hamu ya wakongwe wa Tanzania Al maarufu kama Tanzania Eleven dhidi ya Real Madrid wakongwe zinapouzwa.
Wamesema vituo vinaweza kuongezeka kutokana na mahtaji ya juu ya watu lakini vituo zaidi ya 10 tayari zimeanza kuuza tiketi hizo.
TICKET   ZA REAL MADRID  ZINAPATIKANA  KATKA  VITUO VIFUATAVYO.
TSN   BAMAGA SUPERMARKET .
TSN  OIL  BAMAGA PETROL STATION.
TSN   SUPERMARKET  UPANGA .
TSN  SUPERMARKET  TEGETA.
BIG BON    MSIMBAZI.
BIG BON   SINZA.
BIG BON  TEMEKE.
BIG BON MBAGALA.
BIG BON TEGETA.
TSN SUPERMARKET TANCORT  HOUSE .
MARRY   BROWN MASAKI.
TSN   SUPERMARKET  MIKOCHENI.
TSN  OIL TABATA  KIMANGA.
ENGEN   MIKOCHENI
MARRY  BROWN MLIMANI CITY

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG