- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter
Familia ya Marehemu Reeva Steenkamp
Familia
ya Reeva Steenkamp ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi na mwanariadha wa
Afrika kusini Oscar Pistorius imekasirishwa na uamuzi wa jaji wa kesi
hiyo baada ya kumpata na hatia ya mauaji ya kutokusudia na kumuondoalea
mashtaka ya mauaji.
June Steenkamp amesema kuwa mwanawe ambaye alikufa vibaya hakufanyiwa haki.
Amesema
kuwa hakuamini kwamba jaji wa kesi hiyo alikubali ushahidi wa Oscar
Pistorius kwamba alidhani bi Reeva Steenkamp alikuwa mtu ambaye alikuwa
amevamia nyumba yao.
Hatahivyo mjombaake Pistorius alimshukuru jaji huyo kwa kumuondolea mashtaka ya mauaji mwanariadha huyo.
Oscar Pistorius ataendelea kuwa nje kwa dhamana hadi hukumu yake itakapotolewa mnamo mwezi ujao
No comments:
Post a Comment