- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter
Na Imelda Mtema
MKONGWE kwenye
kilinge cha sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amewataka
mashabiki wake wajue kwamba, muda ukifika wa kupata mume wa kufunga naye
ndoa, atafanya hivyo lakini kwa sasa anatoa kipaumbele kwenye kazi tu.
Mkongwe kwenye kilinge cha sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’.
Akizungumza
na Amani, Johari ambaye umri wake upo juu ya miaka 30, alisema watu
wengi wanafikiri kuwa ndoa ndiyo kila kitu katika maisha lakini kwa
upande wake bado hajaifikiria.
“Kitu
ambacho nakiamini mimi ni kwamba ndoa kama nimepangiwa na Mungu ipo na
itaendelea kuwepo haijalishi hata kama nitafikisha miaka hamsini,”
alisema Johari
No comments:
Post a Comment