Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, September 2, 2014

Kemikali za Xenon na Argon marufuku

 1 Septemba, 2014 - Saa 04:39  Tupambane
  • Google+
  • Chapisha na Tupambane
Dawa za kuongeza nguvu za Xenon na Argon zapigwa marufuku
Taasisi ya kuzuia dawa za kuongeza nguvu michezoni imezuia Xenon na Argon.
Matumizi ya kemikali hizo mbili, zimepigwa marufuku michezoni.
Ingawa hakujakuwa na vipimo vya wazi vya kuthibitisha athari za kemikali hizo.
Hatua hii inakuja kutokana na kuaminika kuwa wanamichezo walikuwa wakivuta kemikali hizi ili kusisimua seli nyekundu za kuongeza stamina kabla na wakati wa mashindano.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG