Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, September 3, 2014

Mapambano dhidi ya Ebola yapungua Afrika

 3 Septemba, 2014 - Saa 06:03 GMT
  • Google+
  • Share on facebook,Share on twetter,Share on Gmail
  • Chapisha na Tupambane
  •  
Mkuu wa shirika la madawa la kimataifa la madaktari wasio na mipaka MSF, Joanne Liu ameuambia Umoja wa Mataifa kuwa mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa ebola Afrika Magharibi yamepungua.
Amesema viongozi duniani wameshindwa kutafutia ufumbuzi wa ugonjwa huo hatari katika historia.
Amesema pia kumekua na Madaktari wachache na katika vituo vilivyotengwa vya kutibu wagonjwa wameendelea kufa. Mratibu wa umoja wa mataifa anayehusika na majanga David Nabarro, amesema watafanya wawezalo kuongeza wafanyakazi wengi wa afya ili kupambana na ugonjwa huu. ( zaidi ya watu mia tano wamekufa kutokana na ugonjwa huo ) na wataalam wa afya wameonya kwamba maelfu ya watu wanauwezekano wa kuambukizwa ugonjwa huo kwa wiki chache zijazo..

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG