Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, September 15, 2014

MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA

  • Written by  Tupambane Blog
  • Email
  • Tuma Maoni
  • Share on facebook Share on Gmail_share Share on twitter 

Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana.

Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.

Mayweather akimshambulia mpinzani wake.GPL(P.T)

Mayweather akiwasili katika Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas kwa pambano hilo.
Bondia Floyd Mayweather amemchapa tena mpinzani wake Marcos Maidana katika mpambano wao uliopigwa kwenye Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas, Marekani na kumalizika hivi punde.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG