Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, September 3, 2014

Msimu wa usajili wakamilika England

 2 Septemba, 2014 - Saa 08:20 GMT
  • Google+
  • Chapisha na Tupambane
Kikosi cha Manchester United
Dirisha la kimataifa la usajili limefungwa jana huku Manchester united wakiibuka kidedea.
Man United imevipiku vilabu vingine vya soka baada ya kumnyakua mshambulia nguli Radamel Falcao kutoka klabu ya Monaco kwa kiasi cha pound milioni 6 huo ukiwa ni mkopo wa muda mrefu.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 28 akiwa na klabu ya Monaco hadi anafungasha virago na kuondoka ameifungia Monaco ya Ufaransa jumla ya mabao 11 katika mechi 20.

Nao Arsenal wamemchukua mshambuliaji wa Man United Danny Welbeck kwa mkopo wa pound million 16. Matumaini ni makubwa kwa mshambuliaji huyo anayetua katika uwanja wa Emirates huku mashabiki wake wakionyesha Imani kubwa kwake katika msimu huu.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG