Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Sunday, September 28, 2014

SIMBA HOI KWA POLISI MORO UWANJA WA TAIFA DAR

Kikosi cha timu ya Simba SC kilichoanza dhidi ya Polisi Moro na kuambulia sare ya bao 1-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kikosi cha timu ya Polisi Moro kilichoanza dhidi ya Simba SC.
Mshambuji wa Simba CS, Emmanuel Okwi akifunga bao lake dakika ya 32 kipindi cha kwanza. (P.T)
Emmanuel Okwi akimtoka mchezaji wa Polisi Moro.
Mchezaji wa Simba Jonas Mkude (Katikati) akimtoka mchezaji wa Polisi moro, na  beki MgandJoseph Owino (kushoto).  
SIMBA SC imelazimishwa sare ya pili mfululizo katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya jioni ya jana kufungana bao 1-1 na Polisi Morogoro Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hadi mapumziko, tayari Simba SC ilikuwa inaongoza kwa bao 1-0 lililofungwa na Mganda, Emmanuel Okwi dakika ya 32 akimalizia pasi fupi ya Mohammed Hussein ‘Tshabalala’.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG