- Written by Tupambane Blog
-
Share on facebook Share on gmail Share on twitter
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa
Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) akionyesha cheti
cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014 kwa wanahabari (hawapo pichani).
Kushoto ni Miss Tanzania, Sitti Mtemvu.
Cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Hashim Lundenga akiongea jambo kwa wanahabari.
Hashim Lundenga akionyesha baadhi ya hati mbalimbali za washiriki wa Miss Tanzania mwaka huu.
Afisa masoko wa Sahara, Joan John akimpatia King'amuzi cha kampuni hiyo kama zawadi kwa mshindi wa Miss Tanzania wa kwanza hadi wa tatu.
No comments:
Post a Comment