- Written by Tupambane Blog
-
Share on facebook Share on gmail Share on twitter
Bondia
Suma Ninja akitunishiana misuli na Shomali Mirundi baada ya kupima uzito
kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa Musoma Bar
Tandika Maguluwe siku ya Nyerere Day Picha na SUPER D
Bondia
Azizi Abdalla akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika
siku ya nyerere Day Oktoba 14 katika ukumbi wa musoma bar tandika
maguluwe kulia ni mpinzani wake Azizi Rashid Picha na SUPER D
Bondia
Imani Daudi 'Imana Mapambano' kushoto akitunishiana misuli na Ally
Sufiani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika
siku ya Nyerere Day katika ukumbi wa Musoma Bar Tandika Maguluwe Picha
na SUPER D BLOG.(T.K)
Bondia
Suma Ninja akitunishiana misuli na Shomali Mirundi baada ya kupima uzito
kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa Musoma Bar
Tandika Maguluwe siku ya Nyerere Day Picha na SUPER D
Mabondia
Azizi Abdalla na Azizi Rashid wakitunishiana misuli baada ya kupima
uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya Nyerere Day katika
ukumbi wa musoma bar tandika maguluwe Picha na SUPER D BLOG
Bondia
Imani Daudi 'Imana Mapambano' kushoto akitunishiana misuli na Ally
Sufiani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika
siku ya Nyerere Day katika ukumbi wa Musoma Bar Tandika Maguluwe
katikati ni Rais wa TPBO Yassin Abdallah Picha na SUPER D BLOG
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA
Imani Daudi 'Imani wa Mapambano' na Ally Sufiani wamepima uzito kwa
ajili ya mpambano wao wa raundi nane utakaofanyika katika ukumbi wa
musoma bar tandika maguluwe
Akizungumza
na wahandishi wa habari wakati wa zoezi la upimaji uzito Promota Kelvin
Mapunda amesema mbali na mpambano huo kutakuwa na mapambano mengine
mbalimbali ambapo bondia Suma Ninja atavaana na Shomari Mirundi na Azizi
Abdallah atapambana na Azizi Rashidi
Ngumi
hizo zilizopangwa kufanyika oktoba 14 siku ya kumbukumbu ya kufanyiki
baba wa taifa zitakuwa chachu ya kufufua mchezo wa masumbwi katika
kitongoji cha tandika na maeneo ya jirani
No comments:
Post a Comment