Rais
Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia
Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa
Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam. Baadhi
wa Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia wakifuatilia kwa makini
hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni rasmi katika Ukumbi wa Kimataifa wa
J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Wanasayansi Vijana wakifuatilia mada wakati wa mkutano wa tatu wa
Wanasayansi Vijana Duniani wenye lengo la kuhakikisha kuwa vijana
wanashiriki vyema katika rasilimali za duniani kwa ajili ya maendeleo na
ukuaji wa uchumi thabiti. (Picha na Makala na Benedict Liwenga,
Maelezo-DSM)HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment