Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Sunday, November 23, 2014

FM ACADEMIA, YAMOTO BAND NA BARBANAS KESHO KUFANYA ONESHO MAALUMU LA USIKU MWEUPE UKUMBI WA ESCAPE ONE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM

Mratibu wa onesho hilo, William Malecela (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu onesho hilo. Kutoka kushoto ni Balozi wa wa Serengeti Platinum, Mizengo Mkayala na Meneja wa Bia ya Serengeti Platinum, Elihuruma Ngowi wadhamini wa onesho hilo.
Meneja wa Bia ya Serengeti Platinum, Elihuruma Ngowi  (wa pili kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Ofisa Mkuu wa Uendeshaji wa Kampuni ya Smart lets talk, Robert Lee, ambao wamedhamini onesho hilo.
Ofisa Mkuu wa Uendeshaji wa Kampuni ya Smart lets talk, Robert Lee, akizungumza katika mkutano huo.(Imeandaliwa na mtanddao wa www.habarizajamii.com)
Mratibu wa onesho hilo, William Malecela (wa pili kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu onesho hilo.
Mkutano ukiendelea.
Wanamuzi wa band ya Yamoto wakiwa kwenye mkutano huo. Kutoka kulia ni Mbwana Yusuph ‘Maromboso’ Bakari Katuti ‘Beka One’ na Aslay Isihaka ‘Aslay”
Wanahabari wakichukua tukio hilo.
Mwanamuziki Barbanas (katikati), akitoa burudani fupi katika mkutano huo.
Mwanamuzi Nyoshi Al- Sadaat naye akitoa burudani.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG