Pages
Home
HABARI
MICHEZO
BURUDANI
MATANGAZO
DINI
PICHA
SIASA
CONTACTS
UFUGAJI
KILIMO
FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA
Friday, November 21, 2014
LORI LALIPUKA MIKUMI MKOANI MOROGORO
Lori lililokuwa limebeba mapipa ya lami likiteketea kwa moto baada ya kulipuka mapema leo asubuhi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro. Chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika.
Baadhi ya watu wakishuhudia tukio hilo la ajali.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUPAMBANE BLOG
No comments:
Post a Comment