Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, November 21, 2014

UFUGAJI WA KISASA:



Ufugaji wa Kuku wa Kisasa utasaidia Wananchi wetu kimahitaji.
LEKIDEA inalenga kuhamasisha na kukuza ufugaji wa Kuku wa Kisasa kwa Wananchi wetu

Ufugaji wa Mbuzi yafaa uwe wa Kisasa zaidi

Ufugaji wa Mbuzi wa Kisasa

Mbuzi wa Kisasa huzaa kwa Manufaa na pia hufanikisha kukua kwa idadi ya mifugo.

LEKIDEA ina malengo ya kuhamasisha Wananchi wa Ukanda wetu Kufuga Mbuzi wa Kisasa kwa ajili ya Nyama na Maziwa kama wanaoonekana na inapowezekana waweze kupatiwa misaada ya huduma za Tiba ya mifugo na ukaguzi.

Uugaji wa Nguruwe unanufaisha Wananchi kibiashara.
Matunzo ya Nguruwe haka hivi, hasa kwa maeneo ya Vijijini kwetu ni wa muhimu na unatekelezeka endapo wananchi watahamasishwa na kuwezeshwa ipasavyo.

Nguruwe wakitunzwa vyema huzaliana haraka na hivyo kukuza kipato cha wananachi. Lengo la LEKIDEA ni kufanya mafanikio kama haya yaweze kutekelezeka kwa manufaa ya Wananchi wetu vijijini.
  
Ufugaji wa Ngombe wa Kisasa pia utawasaidia sana wanaviji wetu kujikwamua kiuchumi

Wananchi wetu wanaweza kuwezeshwa katika mikopo ili waweze kuimarisha ufugaji wa Ngombe kama hawa kwa ajili ya Maziwa, Nyama na Mbolea, na hivyo kukuza kipato na maendeleo yao na kufuta kabisa umaskini.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG