Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, December 2, 2014

AZAM FC KUMPOKEA WAWA........


  • Share on facebook
    Share on google_plusone_shareShare on twitterShare on linkedin
Photo: Baada ya kiungo  Amri Kiemba kusajiliwa na kuanza mazoezi na timu, Azam Fc kesho inatarajia kumpokea beki aliyesajiliwa hivi karibuni, Pascal Wawa majira ya saa 3 asubuhi akitokea kwao nchini Ivory Coast na atajiunga mara moja na kikosi chetu kwa ajili ya maandalizi ya mechi zinazotukabili msimu huu.
Baada ya kiungo Amri Kiemba kusajiliwa na kuanza mazoezi na timu ya Azam Fc. Timu hiyo inatarajia kumpokea beki aliyesajiliwa hivi karibuni, Pascal Wawa majira ya saa 3 asubuhi akitokea kwao nchini Ivory Coast na atajiunga mara moja na kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya mechi za ligi kuu msimu huu pamija na mechi za kimataifa.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG