Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Saturday, December 20, 2014

KILIO CHA WAKULIMA WA KARAFUU PEMBA


1
Kisiwa kidogo cha Pemba katika bahari ya Hindi, kilikuwa ndio walimaji wakubwa wa karafuu duniani kwa miaka na mikaka.
Hivi karibuni, nafasi hiyo hivi karibuni imechukuliwa na Indonesia. Wakulima wa karafuu sasa wanasema wanahitaji serikali yao kuwasaidia zaidi ili kuweza kuendeleza kilimo cha zao hilo walilolima kwa miaka mingi.
Karafuu inatumiwa duniani katika chakula, dawa na nchini Indonesia ni moja ya kiungo muhimu kwa utengenezaji wa Cigars.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG