Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, December 16, 2014

"MAAJABU" Angalia mwanamke aliyepata ajali na kichwa kunasa katika kioo cha gari, Aliokolewa Vipi? Angalia Ndani.


Akiwa kanasa


Wakimtoa Dereva kwanza
Wakianza kumuokoa yeye

Hatimaye ameokolewa


Mwanamke mmoja raia wa China amenusurika kifo baada ya gari aliliokuwa amepanda kupata ajali mbaya iliyomsababishia yeye kunasa kakita kioo cha Mbele maeneo ya Jimbo la Guanxi, Mwanamke huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika alikuwa kashapoteza fahamu huku damu nyingi zikimtoka katika kioo hicho.

Juhudi za ziada zilifanywa na askari wa kikosi cha zimamoto na uokoaji kwa kukitanua kioo hicho kwa ustaadi mkubwa huku wakihakikisha hawamkati zaidi mwanamke huyo.

Jambo la kushangaza ni kwamba waokoaji hao walianza kumtoa mwanaume ambaye alikuwa anaenda gari hilo kwanza ili kubaki na mwanamke huyo peke yake, baada ya kufanikiwa kumtoa waliwakimbiza wote hospitali ndani ya gari la wagonjwa liliokuja eneo la tukio.

Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema ya kwamba gari alilopanda mwanamke huyo lilikuwa katika mwendo kasi kumbe dereva wake alikuwa amelala na ghafla mbele yao kulikuwa na role na ndipo walipoligonga kwa nyuma, kwa kuwa mwanamke huyo hakuwa amevaa mkanda force ya tukio zima ilimfanya anase katika kioo.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG