Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, December 1, 2014

Man city wazidi kupanda

Wachezaji wa Klabu ya Man city
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema ushindi wa timu yake dhidi ya Southampton unadhihirisha kikosi chake ni imara kuweza kukabiliana na Chelsea katika mbio za kuusaka ubingwa wa ligi ya England.
Kwa ushidi wa mabao 3-0 dhidi Southampton siku ya jumapili, Machester city imepanda hadi nafasi ya pili wakiwa na pointi sita nyuma ya vinara Chelsea.
Pellegrin amewamwagia sifa kem kem wachezaji wake kwa kuwa na moyo wa kujituma wakiwa uwanjani hali iliyozaa matunda hayo.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG