Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, December 5, 2014

"Nimedata na Penzi la Mke wa mtu Jamani, Nifanyeje?"......Mdau

Jamani nimeshindwa kuvumilia mapenzi nayopewa na huyu mtoto wa kichaga, ingawa ni kweli mke wa mtu mume wa huyu dada ni mtu wa kusafiri sana mikoa mbali mbali kwa biashara zake. 

 
 Tatizo limekuja pale napomwambia tuachane kwa vile ni mke wa mtu hataki hata kusikia, first time nimemtokea akanambia yupo single girl ila baaada ya siku nikawa nimegundua ni mke wa mtu. 
Jamani na mimi nimedata mbaya kwa kweli cause hata min kabaaang ananipa tuu hana choyo mtoto wa watu, je nifanyaje nimwache?

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG