Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, December 15, 2014

ZARI AZIDI KUJIWEKA KWA DIAMOND, USO KWA USO NA MAMA MKWE SOUTH AFRICA




Diamond Hivi Karibuni alidai kuwa yeye na the bosslady Zari hawana uhusiano wowote wa kimapenzi bali wapo kikazi, (project).


Lakini kwa kilichoonekana Usiku wa jana Afrika Kusini, ambapo mrembo Huyo alionekana kuwa karibu zaidi na Diamond Platnumz na Mama Mkwe wake wake yani Mama Diamond, Na wadau kuamini Kabisa Hakuna cha project bali kinachoelendea ni mahaba ninyonge kati ya Mrembo Zarina na Diamond Platnumz.

angalia picha zaidi hapo chini




No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG