Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, February 12, 2015

Ajali ya moto katikati ya Jiji la Dar es Salaam


Taarifa kutoka katikati ya Jiji Dar es Salaam, hali haikuwa shwari leo asubuhi, tukio kubwa ni ajali ya moto ambao ulianza katika majengo yanayomilikiwa na Shirika la Nyumba NHC.Moto ulianza saa tatu asubuhi mtaa wa Libya na Mosque, ambapo ulishika katika majengo matatu ya ghorofa yaliyoongozana na kuunguza vitu ambavyo thamani yake haijafamika.Vikosi vya Zimamoto vilifika na kuudhibiti moto huo huku wakiendelea na uchunguzi kujua chanzo cha moto huo.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova amesema hakuna mtu aliyefariki wala kuumia kutokana na ajali hiyo.
Hapa kuna picha za tukio hilo.















No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG