Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, February 17, 2015

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR AREJEA NCHINI AKITOKEA QATARI KWA ZIARA YA KIKAZI



1
Makamu wa Kwanza wa Rais  wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akishuka ndege katika uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume  baada ya kumaliza ziara ya Kiserikali nchi Qatar.
2
Makamu wa Kwanza wa Rais wa  Zanzibar Maalim  Seif Sharif Hamad akivishwa shada la maua  alipowasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume  akitokea  nchini Qatar.
3
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akisalimiana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alipowasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akitokea nchini Qatar, wa kwanza (kushoto) Waziri wa Nchi katika Ofisi yake  Fatma Abdulhabib Ferej. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
4
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya kuwasili kutoka ziara yake ya Qatar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
5
Mwandishi wa habari wa Radio Adhana FM Said  Mussa Makame akimuuliza swali Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar.
7

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG