Pages
Home
HABARI
MICHEZO
BURUDANI
MATANGAZO
DINI
PICHA
SIASA
CONTACTS
UFUGAJI
KILIMO
FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA
Wednesday, February 18, 2015
MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR
Marehemu Janeth Joan Kitime enzi za uhai wake.
Muonekano wa kaburi la marehemu Janeth Joan Kitime baada ya kuzikwa siku ya leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwanamuziki mkongwe, John Kitime akiweka maua katika kaburi la mke wake.
Mzee Kitime na wanawe kulia wakiweka mchanga katika kaburi la marehemu.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kulia) akitoa pole.
Mzee Kitime akiteta jambo na msanii Dude.
Mmoja wa ndugu akijiandaa kuweka maua.
Kitime katikati akiwa na watoto wake wawili Ivan (kushoto) na Tina (kulia).
Wana familia wakiwa mbele ya kaburi la marehemu baada ya kuzika.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye msiba huo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUPAMBANE BLOG
No comments:
Post a Comment