Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, February 18, 2015

MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR

Marehemu Janeth Joan Kitime enzi za uhai wake.
Muonekano wa kaburi la marehemu Janeth Joan Kitime baada ya kuzikwa siku ya leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwanamuziki mkongwe, John Kitime akiweka maua katika kaburi la mke wake.
Mzee Kitime na wanawe kulia wakiweka mchanga katika kaburi la marehemu.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kulia) akitoa pole.
Mzee Kitime akiteta jambo na msanii Dude.
Mmoja wa ndugu akijiandaa kuweka maua.
Kitime katikati akiwa na watoto wake wawili Ivan (kushoto) na Tina (kulia).
Wana familia wakiwa mbele ya kaburi la marehemu baada ya kuzika.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye msiba huo.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG