Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ameeleza
kushangazwa kwake na taarifa zinazozidi kuenea kuwa amejifungua, jambo
ambalo anadai eti siyo kweli.
“Mimi sina mtoto mdogo, mwanangu ni yule mnayemjua, hao wanaosema nimezaa mbona wananizalisha?” alihoji Snura ambaye baada ya muda mrefu kupotea, juzikati aliibukia kwenye Ukumbi wa Escape One ulipo Msasani, jijini Dar.
Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi.
Madai ya staa huyo kujifungua kwa siri yameenea na hata wasanii
wenzake wanajua hivyo lakini mwenyewe amekuwa akikanusha na kuwaacha
mashabiki wake njia panda.Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Snura
alisema yeye ana mtoto mmoja mkubwa lakini madai ya kwamba amejifungua
hivi karibu hayana ukweli.“Mimi sina mtoto mdogo, mwanangu ni yule mnayemjua, hao wanaosema nimezaa mbona wananizalisha?” alihoji Snura ambaye baada ya muda mrefu kupotea, juzikati aliibukia kwenye Ukumbi wa Escape One ulipo Msasani, jijini Dar.
No comments:
Post a Comment