Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, February 17, 2015

Tamasha la Pasaka mwaka huu litahusisha michezo pia, linatimiza miaka 15

34
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo Kinondoni Moroco wakati akielezea maadalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, ambapo amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbajiwa muziki wa injili mbalimbali kutoka hapa nchini na nje ya nchi pia itakuwepo michezo mbalimbali ikiwa pia ni maadhimisho ya miaka 15 toka kuanzishwa kwa tamasha hilo.
351
Alex Msama akisisitiza jambo katika mkutano huo.
36
Alex Msama akiwafafanulia zaidi waandishi wa habari katika mkutano huo.
37
Baadhi ya waandishi wa habari wakichukua taarifa ya Bw. Alex Msama.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG