Haya ni baadhi ya matairi ya magari yaliyochomwa na baadhi ya Wananchi maeneo ya stendi kuu ya Ubungo jijini Dar. Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanyisha wananchi hao.Baadhi ya Wananchi hawakukubaliana na hilo nao wakaanza kushika mawe na kuwarushia Polisi, ikawa ni mawe VS Mabomu. Haya yote chanzo ni mgomo wa Madereva ulioanza leo.
No comments:
Post a Comment