Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Sunday, July 19, 2015

Manchester United yailaza Club America

manchester United
Morgan Schneiderlin aliifungia Manchester United bao moja dakika tano baada ya kuingia huku timu hiyo ikiishinda Klabu ya Mexico Club America 1-0 huko Seattle.
Wachezaji wapya wa Manchester United akiwemo Schneiderlin,Memphis Depay na Matteo Renzi walishiriki katika mechi hiyo.
Bastian Schweinsteiger alikuwa mmoja ya wachezaji 11walioingia katika kipindi cha pili.
Bao la Schneiderlin lilikuwa muhimu sana katika kuipatia ushindi Manchester United,baada ya kiungo huyo aliyesajiliwa kwa pauni milioni 25 kutoka Southampton kupata krosi safi ya Juan Mata.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG