Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, November 17, 2015

Ukweli Kuhusu Kupotea Kwa Shilingi MIA TANO ya Sarafu..Wajanja wa Mjini Watumia Kutengeneza CHENI..


Ndani ya wiki moja nimekutana na watu watatu wakitafuta sh.500/= ya sarafu kwa sh.2500/= kwa sarafu moja ya mia 5, mwanzoni nilipuuzia lakini baada ya kutulia na kufanya utafiti nimegundua kwanza hii sarafu imekuwa adimu na inatafutwa kwa udi na uvumba 
Pili ni kwamba wale wapenzi wa SILVER sasa unaweza kupata cheni halisi ya silver kwa bei poa kabisa ! sababu ni kwamba zile sarafu za mia tano ndio zinayeyushwa na kutengeneza vidani siku hizi

Hii ni KASHFA nyingine kubwa kuhusiana na pesa yetu na mamlaka zinazohusika ziko kimya kuhusu hili lakini hii ndio hali halisi inayoendelea mitaani TUGUTUKE

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG