Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Sunday, October 26, 2014

HEBU CHEKA NA HII UONGEZE SIKU ZA KUISHI!

mlevi


Mlevi mmoja aliingia kwenye daladala na kukaa siti ya mbele halafu akaweka begi lake kwenye siti ya pembeni kisha akapitiwa na usingizi.
Mara akaingia mlevi mwingine kwenye daladala hiyo na kulitoa begi la mlevi wa kwanza kisha akakaa.
Mlevi wa kwanza alipoamka alipeleka mikono yake alipokuwa ameliweka begi na kuanza kufungua zipi ya suruali ya mlevi wa pili akidhania ya kwamba ni zipu ya begi lake, baada ya kufungua zipu alianza kupapasa ndani ya zipu hiyo. Kwa hasira akauliza,
"nani kaweka ndizi na machungwa kwenye begi langu?"

Unajua kilichotokea hapo ni kipi? Like hapo chini kisha nitakutumia jibu kwenye inbox.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG