Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, November 24, 2014

JE KUNA UGONJWA WA HAMU YA KUFANYA MAPENZI AU NI KUJIENDEKEZA..HAWEZI LALA BILA YA KUPATA DOZI


Wakati nasoma sekondari kuna dada alikua hadi anazimia mara adondoke yaani tabu tupu.
AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikua tunamsindikiza) japo tulikua bodin
kwa uoga tulisema HANA lakini alikua nao na akigombana na one of them ndo anaumwa
na kujaamiiina ilikua kawaida sana kwake 
Sasa basi juzi nikaambiwa mtu flani muacheni tu awe hata na watoto maana hawezi lala bila kujamiina
SASA NIKABAKI NA SWALI JE HUO NI UGONJWA au nikujiendekeza?

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG