Pages
Home
HABARI
MICHEZO
BURUDANI
MATANGAZO
DINI
PICHA
SIASA
CONTACTS
UFUGAJI
KILIMO
FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA
Saturday, November 15, 2014
WANAFUNZI WA KENYA WATEMBELEA MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YA AFRIKA KUJIFUNZA
Naibu Msajili wa Mahakama ya Kiafrika ya Haki za Binadamu(AfCHR)Nouhou Dialo akizungumza na wanafunzi wanaosoma Sheria katika Chuo cha African Nazarine University , Nairobi nchini Kenya waliofanya ziara ya kujifunza juu ya utendaji kazi wa Mahakama hiyo yenye makao yake Jijini Arusha jana,wengine ni Mhadhiri wa Chuo hicho,Nyamweya Mamboleo na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa AfCHR,Sukhdev Chatbar.
Baadhi ya Wanafunzi wanaosoma Sheria katika Chuo cha African Nazarine University , Nairobi nchini Kenya walimsikiliza Naibu Msajili wa Mahakama ya Kiafrika ya Haki za Binadamu(AfCHR)Nouhou Dialo .
Wanafunzi wanaosoma Sheria katika Chuo cha African Nazarine University , Nairobi nchini Kenya walimsikiliza Afisa Uhusiano Mwandamizi wa AfCHR,Sukhdev Chatbar wakati akiwatambulisha maeneo mbalimbali ya Mahakama hiyo.
Mmoja wa wanafunzi akifurahia kitabu kwenye Maktaba ya Mahakama hiyo lana
Wanafunzi wanaosoma Sheria katika Chuo cha African Nazarine University , Nairobi nchini Kenya wakiangalia baadhi ya Kesi zilizowahi kufunguliwa katika Mahakama hiyo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUPAMBANE BLOG
No comments:
Post a Comment