Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, January 15, 2015

Republican yampinga Obama



Rais Barack Obama na Spika wa bunge John Boehner
Wabunge wa chama cha Republican ambao ni wengi Marekani wanapinga mipango ya Rais Barack Obama kuzifanyia mabadiliko sera za Uhamiaji nchini humo.
Spika wa bunge la Marekani John Boehner amesema hatua ya serikali iliyotangazwa na Rais Obama mwezi Novemba mwaka jana haikuwa imeidhinishwa na bunge la taifa hilo.
Lakini Ikulu ya Marekani imesema chama cha Republican kimechukua hatua ambazo si sahihi kupinga hatua ya Rais Obama akuhusiana na marekebisho ya sera ya uhamiaji ili kuwapa uraia wasioa raia wa taifa hilo.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG