Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, January 12, 2015

Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi

Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi

12 Januari 2015 Imebadilishwa mwisho saa 04:56 GMT
Zanzibar inaadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, yalioung'owa utawala wa Sultani.
Kuna Kumbukumbu nyingi za mapinduzi hayo na baadhi ya wazee walioshiriki wanasimulia jinsi walivyopanga mapinduzi hayo, katika taarifa ya Arnold Kayanda akiwa Visiwani Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG