![](http://1.bp.blogspot.com/-8u87vRUg3Aw/VcQogA7ztiI/AAAAAAABD4k/lDBF4luZP9c/s640/lowasa5.jpg)
mabadiliko makubwa pamoja na Mwenyekiti wetu, Freeman Mbowe kwa kusimama imara katika kipindi hiki kigumu. Nimewaambia wajumbe wa mkutano mkuu kuwa natambua kazi wanayofanya ni kubwa na wanajitolea, na kwa umoja wetu, tutafika kila jimbo na kufanya kampeni za kisayansi bila matusi na tutapata Ushindi wa Asubuhi Mapema. Asanteni sana kwa imani yenu kwangu.
No comments:
Post a Comment