HII NDIO NCHI ILIYOPITISHA SHERIA YA WEZI KUKATWA MIKONO NA WAZINIFU KUPIGWA MAWE
Sultani na mtawala wa Brunei ambaye ni mmoja wa matajiri wakubwa
duniani Serikali ya Brunei iliyo Kusini Mashariki mwa Bara Asia, itaanza
kutumia sheria kali za kiisilamu. Kiongozi wa nchi hiyo ya kiisilamu
ambayo ni jirani na Malaysia ametangaza kuwa sheria hiyo itaanza
kutumika kuanzia wiki hii. Adhabu zilizo chini ya sheria za kiisilamu ni
pamoja na kuwakata...
No comments:
Post a Comment