watu wapatao 17 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya
basi la moro best na lorikugongana uso kwa uso katika eneo la panda
mbili mkoani dodoma leo basi hjilo la moro best lilikuwa lkinatoka
mpwapwa na kuelekea Dar es salaam baadhi ya washuhuda ya ajali hiyo
wanaseema lori hilo lilikuwa katika mwendo kasi wakati akilipita basi
hilo madereva wa magari yote wamefariki papohapo pamoja na iutingo
No comments:
Post a Comment