Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, July 31, 2014

NI MOJA YA AJALI ILIYOTOKEA YA BASI KAMPUNI YA MOROBEST JANA

 watu wapatao 17 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la moro best na lorikugongana uso kwa uso katika eneo la panda mbili mkoani dodoma leo basi hjilo la moro best lilikuwa lkinatoka mpwapwa na kuelekea Dar es salaam baadhi ya washuhuda ya ajali hiyo wanaseema lori hilo lilikuwa katika mwendo kasi wakati akilipita basi hilo madereva wa magari yote wamefariki papohapo pamoja na iutingo

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG