- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter Share on linkedin
Giroud, 27, aliumia katika mchezo dhidi ya Everton uliomalizika kwa sare ya 2-2.
Alitakiwa kufanyiwa vipimo vya pili kuona madhara aliyopata baada ya uvimbe kupungua.
Kukosekana kwa Giroud kunamaanisha Alexis Sanchez, Joel Campbell, Yaya Sanogo na Lukas Podolski, ndio tegemeo la ushambuliaji.
Sanogo hata hivyo ana jeraha la msuli na huenda asiweze kucheza mechi ya Champions League dhidi ya Besitkas siku ya Jumatano.tmk
No comments:
Post a Comment