Pichani ni choo ambacho nimekikuta kitongoji cha Madilu, Kijiji cha Mlangali, Wilayani Ludewa. |
- Written by Tupambane Blog
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter Share on linkedin
Choo kipi ni bora hapa Tanzania
- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter Share on linkedin
Na Mathias Canal, Kwanza Jamaii-Ludewa
Wakati wengine wanatumia maji, kusafisha choo, wapo wengine wanasafisha kwa miti.Wakati wengine wanatumia maji kujisafisha watokapo chooni, Wengine wanatumia magunzi na mchanga kujisafisha watokapo chooni.
Wakati wengine wanafurahia wanapokuw chooni, wengine wanatamani kumaliza mapema ili harufu wanyokumbana nayo wasiisikie kutokana na hali ya choo.
Pichani ni choo ambacho nimekikuta kitongoji cha Madilu, Kijiji cha Mlangali, Wilayani Ludewa.
Na Mathias Canal, Kwanza Jamaii-Ludewa
Wakati wengine wanatumia maji, kusafisha choo, wapo wengine wanasafisha kwa miti.Wakati wengine wanatumia maji kujisafisha watokapo chooni, Wengine wanatumia magunzi na mchanga kujisafisha watokapo chooni.
Wakati wengine wanafurahia wanapokuw chooni, wengine wanatamani kumaliza mapema ili harufu wanyokumbana nayo wasiisikie kutokana na hali ya choo.
No comments:
Post a Comment