Edin Dzeko amesaini mkataba mpya wa miaka minne Manchester City
MSHAMBULIAJI Edin Dzeko amesaini Mkataba wa miaka minne na mabingwa wa Ligi Kuu ya England, Manchester City.
Mwanasioka huyo wa kimataifa wa
Bosnia ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter juu ya kusaini kwake
mkataba mpya akisema: "Furaha na kujivuniaa kusaini mkataba wangu
mpya na Manchester City. Nipo hapa ambako ni kwangu. Nimerefusha hadi
2018,".
No comments:
Post a Comment