Published in
Jamii
Read: 15
times
Be the first to comment!
Ni kijiji jirani na mpaka wa Tanzania na Msumbiji, Ruvuma.
1. Uraia pacha wao tayari wanao. Wayao wako Tanzania na Msumbiji. Wanavuka mpaka bila passport. Kuna wenye ndugu pande zote mbili za mpaka.
2. Serikali Tatu tayari wanazo; ya Tanzania, Msumbiji na Zanzibar. Ikija Tanganyika itakuwa ya Nne..!
Kila la kheri Spika Samwel Sitta
No comments:
Post a Comment