Nahodha
wa timu ya taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, amekanusha madai
kuwa alimtoa
kafara yake ambaye pia alikuwa mwanamuziki mashuhuri nchini Ghana
Castro.
kuwa alimtoa
kafara yake ambaye pia alikuwa mwanamuziki mashuhuri nchini Ghana
Castro.
Gyan amesema tetesi hizo ni za kushangaza sana wala hazina msingi.
Mwanamuziki
huyo aliyekuwa anaiimba nyimbo za mtindo wa Afrobeats,
ambaye jina
lake halisi ni Theophilus Tagoe, alitoweka pamoja na rafiki yake
Janet Bandu,
mnamo mwezi Julai.
ambaye jina
lake halisi ni Theophilus Tagoe, alitoweka pamoja na rafiki yake
Janet Bandu,
mnamo mwezi Julai.
Wawili
hao walitoweka wakati walipokuwa wamekwenda likizo na Gyan
ambaye alikuwa
mchezaji wa zamani wa Sunderland, katika mji wa Ada.
ambaye alikuwa
mchezaji wa zamani wa Sunderland, katika mji wa Ada.
Madai
katika vyombo vya habari nchini Ghana yanasema kuwa kutoweka
kwa rafiki
ya Gyan kumezua wasiwasi baadhi wakidai kuwa huenda alimtoa
kafara mwanamuziki huyo.
BBC
kwa rafiki
ya Gyan kumezua wasiwasi baadhi wakidai kuwa huenda alimtoa
kafara mwanamuziki huyo.
BBC
Castro na rafiki yake Bandu, walionekana kwa mara ya mwisho
wakielekea baharini na
baadaye iliarifiwa kuwa walizama.
wakielekea baharini na
baadaye iliarifiwa kuwa walizama.
Miili ya
wawili hao haikuwahi kupatikana na madai yaliendelea
kusambazwa mwezi huu
wakati ambapo kakake Gyan, Baffour Gyan alidaiwa kuwa mmoja wa genge
la
vijana waliowashambulia wandishi wa habari waliohoji maswali kuhusu
madai hayo.
kusambazwa mwezi huu
wakati ambapo kakake Gyan, Baffour Gyan alidaiwa kuwa mmoja wa genge
la
vijana waliowashambulia wandishi wa habari waliohoji maswali kuhusu
madai hayo.
Hata hivyo baadaye aliachiliwa na polisi waliokuwa wamemkata kwa lengo
la
kumfungulia mashitaka.
la
kumfungulia mashitaka.
Tetesi hizo zilimfanya Gyan kuitisha mkutano na wandishi wa
habari kuzungumzia madai
hayo.
habari kuzungumzia madai
hayo.
Wakili
wake Kissi Agbyabeng alitoa taarifa akisema kuwa familia ya
Gyan imeshangazwa
sana na madai hayo na iliamua kutosema chochote ili polisi waendelee
na uchunguzi wao.
Gyan imeshangazwa
sana na madai hayo na iliamua kutosema chochote ili polisi waendelee
na uchunguzi wao.
Taarifa
hiyo ilisema: " Tumekuwa kimya huku madai na tetesi zikienezwa
kila upande
katika vyombo vya habari. Tumekuwa kimya sio eti kwa sababu
tunaficha ukweli, bali
kwa sababu hatuoni umuhimu wa kusema kilichojiri mjini Ada. Tumekuwa
kimya kwa
sababu tunataka polisi wafanye kazi yao bila kuingiliwa.''
kila upande
katika vyombo vya habari. Tumekuwa kimya sio eti kwa sababu
tunaficha ukweli, bali
kwa sababu hatuoni umuhimu wa kusema kilichojiri mjini Ada. Tumekuwa
kimya kwa
sababu tunataka polisi wafanye kazi yao bila kuingiliwa.''
No comments:
Post a Comment