Mwakilishi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Zanzibar Samir Manji ( wa
tatu kushoto),
akikabidhi
mfano
wa hundi yenye thamani ya sh. mil 51 wananchi wa majimbo ya Chumbuni na Mpendae
ikiwa ni msaada
wa kampuni hiyo kwa ajili ya mradi wa uchimbaji wa visima vya maji safi na salama
katika majimbo hayo
juzi. Wa pili kushoto ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu
akikabidhi
mfano
wa hundi yenye thamani ya sh. mil 51 wananchi wa majimbo ya Chumbuni na Mpendae
ikiwa ni msaada
wa kampuni hiyo kwa ajili ya mradi wa uchimbaji wa visima vya maji safi na salama
katika majimbo hayo
juzi. Wa pili kushoto ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu
Mwakilishi wa Mauzo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Temeke, Bw. Alen
Mwebuga
(kushoto), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Mbagala Round Table
Maternity
Home, Dkt. Baturi Luhanda, mfano wa Hundi ya sh. Milioni 20, kwa ajili ya kusaidia
kuchimba kisima
cha maji. Wengine katika picha ni Afisa Uhusiano wa TBL, Bi. Doris Malulu
(wa pili kulia), Mhandisi
wa mradi huo, Bw. Onesmo Zakaria na Rais wa Rotary Klab Agnes Batenga.
(Na Mpigapicha Wetu)
No comments:
Post a Comment