Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' na
Kiongozi wa
Kiongozi wa
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe,
Na Ojuku Ibrahim
MAAZIMIO ya Mkutano Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
MAAZIMIO ya Mkutano Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
ya kuitisha
maandamano na migomo isiyokoma nchi nzima kupinga kuendelea kwa
vikao
vya Bunge Maalum
la Katiba (BMK) na baadaye kauli kali ya Jeshi la
Polisi ya kukataza kitendo hicho na
kutishia kutumia
nguvu kuyazima,
yanaweza kusababisha maafa kama busara hazitatumika kwa pande
zote
mbili.
Hayo
yamesemwa na baadhi ya wananchi wa kada na vyama mbalimbali waliohojiwa
kufuatia kuitwa polisi na kuhojiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Freeman
Mbowe
aliyetoa kauli hiyo wakati wa
mkutano wa chama hicho hivi
karibuni.(T.K)
Chacha
Maiya, aliyejitambulisha kama mwanafunzi wa sheria kutoka Chuo
Kikuu Huria,
Kikuu Huria,
alisema ingawa ni haki ya msingi kwa wananchi kuandamana, lakini
tafsiri
inayotokana na
inayotokana na
maneno ya
Mbowe ni kama inayoashiria vurugu
kutoka kwa wafuasi wake, jambo ambalo
halikubaliki.
halikubaliki.
“Ni kama
vile Mwenyekiti Mbowe anawahamasisha wafuasi wake kufanya vurugu.
Nadhani kulikuwa na haja ya kuwa makini katika kutoa matamshi hasa
unapotaka
kuhamasisha
kuhamasisha
umma, sasa suala
la msingi ni kwa wao kusitisha
maandamano yao na kufikiria njia nyingine ya
kuwasilisha
kuwasilisha
ujumbe wao kwa
Rais
au Bunge,” alisema.
Akizungumzia
sakata hilo, kiongozi mmoja wa Chadema aliyeomba hifadhi ya jina lake,
alisema kitendo cha polisi kuzuia maandamano yao hakiwezi kulipa uhalali
Bunge
Maalum kuendelea, isipokuwa
wanazidi kuchochea ari ya wananchi
katika kutafuta haki yao.
“Ipo siku
watu watasema basi, imetosha, hivi vitisho vina mwisho wake,
polisi wanataka
polisi wanataka
kuingilia siasa kwa kuilinda CCM, lakini watambue kuwa hakuna
sheria
inayowapa mamlaka
inayowapa mamlaka
ya kuzuia
maandamano ya kisiasa, walichopaswa
kufanya, ni kutoa maelekezo ya
namna ya kufanikisha
namna ya kufanikisha
maandamano hayo
ili
yatawaliwe na amani, siyo kupiga watu mabomu,” alisema.
Tokea
kutolewa kwa maazimio hayo ya Chadema, wafuasi kadhaa wa chama
hicho
hicho
wamekamatwa katika maeneo mbalimbali nchini na wengine kufikishwa
mahakamani,
mahakamani,
baada ya kujaribu kuandamana na
polisi kutumia nguvu
kuwazuia.
No comments:
Post a Comment