Kitu
kimefika: Bondia Muingereza, Carl Frampton kulia akiwa amemchapa ngumi
ya usoni kwa mono wa kulia Kiko Martinez katika pambano ambalo alishinda
kwa pointi 119-108, 119108 na 118-111 kutwaa ubingwa wa dunia wa IBF
uzito wa Super Bantam mjini Belfast.
Martinez alidondoshwa chini raundi ya tano, lakini akasimama imara na kumalizia vizuri pambano(P.T)
Bingwa mpya: Frampton akiwa amevishwa taji lake la dunia baada ya kumshinda Martinez nyumbani mjini Belfast
No comments:
Post a Comment