Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, September 8, 2014

CARL FRAMPTON AMTWANGA KIKO MARTINEZ NA KUBEBA TAJI LA DUNIA



  • Written by  Tupambane Blog
  • Email
  • Tuma Maoni
  • Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter 

Kitu kimefika: Bondia Muingereza, Carl Frampton kulia akiwa amemchapa ngumi ya usoni kwa mono wa kulia Kiko Martinez katika pambano ambalo alishinda kwa pointi 119-108, 119108 na 118-111 kutwaa ubingwa wa dunia wa IBF uzito wa Super Bantam mjini Belfast.
Down he goes: Martinez was dropped in the fifth round but recovered to take the fight to the final bell
Martinez alidondoshwa chini raundi ya tano, lakini akasimama imara na kumalizia vizuri pambano(P.T)
And the new: Frampton is announced as the new world champion after dethroning Martinez in Belfast

Bingwa mpya: Frampton akiwa amevishwa taji lake la dunia baada ya kumshinda Martinez nyumbani mjini Belfast

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG