Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, September 3, 2014

Continho,jaja kuonyesha vitu uwanja wa taifa leo

  • Written by  Tupambane Blog
  • Email
  • Tuma Maoni
  • Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgM_1yHFgN-katSjS5qxsmd6cfF2f6klGBz5tE5d0A8nxb7pv7lQnMKlflz3MBzNJjglTI56TqUFy5Mvo_QCeTOaL3EJz-zn5jLMJsTn9pEwRuZr_SX9RtJpqxatNw7gkY_5ehHDurx6Q_Q/s1600/COUTINHO+NA+JAJA.jpg

Na Victor Simon- Mjengwabolg
Timu ya soka ya Yanga siku ya leo inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na timu ya Thika United ya nchini Kenya,kwenye mchezo wa kujipima ubavu.
Mchezo huo ni maandalizi ya ligi kuu Tanzania bara, ambayo inatarajia kutimua vumbi septemba 20 mwaka huu. Maandalizi ya mchezo huo tayari yamekwisha kamilika,huku timu hizo zikitarajiwa kutoa burudani kwa wapenzi wa soka nchini Tanzania.
Kumekuwa na tambo za hapa na pale kutoka kwa timu zote mbili,zikijinasibu kushinda mchezo huo.Huu ni mchezo wa nne wa kocha Marcio Maximo tangu achukuwe mikoba ililoachwa wazi na kocha Hans Der Plujim ambae alifungashiwa virago.Kwenye michezo mitatu ya mwanzo timu ya Yanga imeweza kuibuka na ushindi kwenye michezo yote .
Ushindi huo ukichagizwa na ujio wa wachezaji wa kibrazil, Continho na Jaja ambao wamekuwa kivutio kwa wapenzi wa soka, tayari wapenzi wa soka wa visiwani wamepata fursa ya kuwaona wachezaji hao.Sasa ni zamu ya wapenzi wa soka wa Tanzania bara.Continho,jaja kuonyesha vitu uwanja wa taifa leo
Timu ya soka ya Yanga siku ya leo inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na timu ya Thika United ya nchini Kenya,kwenye mchezo wa kujipima ubavu.
Mchezo huo ni maandalizi ya ligi kuu Tanzania bara, ambayo inatarajia kutimua vumbi septemba 20 mwaka huu. Maandalizi ya mchezo huo tayari yamekwisha kamilika,huku timu hizo zikitarajiwa kutoa burudani kwa wapenzi wa soka nchini Tanzania.
Kumekuwa na tambo za hapa na pale kutoka kwa timu zote mbili,zikijinasibu kushinda mchezo huo.Huu ni mchezo wa nne wa kocha Marcio Maximo tangu achukuwe mikoba ililoachwa wazi na kocha Hans Der Plujim ambae alifungashiwa virago.Kwenye michezo mitatu ya mwanzo timu ya Yanga imeweza kuibuka na ushindi kwenye michezo yote .
Ushindi huo ukichagizwa na ujio wa wachezaji wa kibrazil, Continho na Jaja ambao wamekuwa kivutio kwa wapenzi wa soka, tayari wapenzi wa soka wa visiwani wamepata fursa ya kuwaona wachezaji hao.Sasa ni zamu ya wapenzi wa soka wa Tanzania bara.Continho,jaja kuonyesha vitu uwanja wa taifa leo
Timu ya soka ya Yanga siku ya leo inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na timu ya Thika United ya nchini Kenya,kwenye mchezo wa kujipima ubavu.
Mchezo huo ni maandalizi ya ligi kuu Tanzania bara, ambayo inatarajia kutimua vumbi septemba 20 mwaka huu. Maandalizi ya mchezo huo tayari yamekwisha kamilika,huku timu hizo zikitarajiwa kutoa burudani kwa wapenzi wa soka nchini Tanzania.
Kumekuwa na tambo za hapa na pale kutoka kwa timu zote mbili,zikijinasibu kushinda mchezo huo.Huu ni mchezo wa nne wa kocha Marcio Maximo tangu achukuwe mikoba ililoachwa wazi na kocha Hans Der Plujim ambae alifungashiwa virago.Kwenye michezo mitatu ya mwanzo timu ya Yanga imeweza kuibuka na ushindi kwenye michezo yote .
Ushindi huo ukichagizwa na ujio wa wachezaji wa kibrazil, Continho na Jaja ambao wamekuwa kivutio kwa wapenzi wa soka, tayari wapenzi wa soka wa visiwani wamepata fursa ya kuwaona wachezaji hao.Sasa ni zamu ya wapenzi wa soka wa Tanzania bara.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG