Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akichanyata shamba kwa ajili ya kupanda
mpunga, katika eneo la Mradi wa Kilimo Kwanza wa Skimu katika Kijiji cha
Mahenge, akiwa katika ziara ya kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani
ya CCM katika wilaya ya Korogwe Mjini, mkoani Tanga, juzi Septemba
26,2014.9 .(T.K)
No comments:
Post a Comment