KOCHA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI
- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Kocha wa timu ya Taifa Stars, Mart Nooij akitangaza majina ya wachezaji mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Kushoto ni kocha Mrt Nooij, Meneja wa timu Boniphace Clement pamoja na Dk Emile Richard wakiwa kwenye mkutano na wanahabari.(P.T)
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa Stars.
(Na Gabriel Ng’osha/GPL)
Kocha wa
timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mart Nooij ametangaza majina ya
wachezaji 20 watakaokwenda Burundi, Katika mechi ya kimataifa ya
kirafiki inayotegemewa kuchezwa tarehe 6 septemba mwaka huu.
No comments:
Post a Comment