Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, September 4, 2014

KOCHA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI

  • Written by Tupambane  Blog
  • Email
  • Tuma Maoni

Kocha wa timu ya Taifa Stars, Mart Nooij akitangaza majina ya wachezaji mbele ya wanahabari (hawapo pichani).

Kushoto ni kocha Mrt Nooij, Meneja wa timu Boniphace Clement pamoja na Dk Emile Richard wakiwa kwenye mkutano na wanahabari.(P.T)

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa Stars.
(Na Gabriel Ng’osha/GPL)
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mart Nooij ametangaza majina ya wachezaji 20 watakaokwenda Burundi, Katika mechi ya kimataifa ya kirafiki inayotegemewa kuchezwa tarehe 6 septemba mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG