- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter
Afisa Mwandamizi Suleiman akisoma majina ya shule kumi bora.
Majina ya shule zilizoshika nafasi ya kumi bora kitaifa pamoja na majina ya wanafunzi waliofanya vizuri.
Wanahabari wakisilikiza orodha ya majina ya washindi.
Na Thommy kundy
ISLAMIC Education
Panel imetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya dini ya
Kiislam uliofanyika Agosti 13, 2014 , ambako jumla ya shule 2,559 katika
mikoa 26 na wilaya 115 za Tanzania Bara na Visiwani zilishiriki.
No comments:
Post a Comment